Wanawake kote duniani wana jumuika katika sherehe za siku yakimataifa ya wanawake.
Leyla ni mkaazi wa Melbourne, Victoria. Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, alifunguka kuhusu hatua ambazo wanawake wamepiga katika miaka 112 ya harakati zakutetea haki zawanawake duniani.
Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.
Share






