Duru za pande hasimu nchini Kongo, zimesema serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na waasi wa M23 wanajiandaa kwa mazungumzo ya ana kwa ana 9 Aprili 2025.
Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Mkutano huo utakuwa wa kwanza kufanyika moja kwa moja tangu wapiganaji wa M23, kuiteka miji miwili mikubwa ya eneo la mashariki kwenye mashambulizi yaliyowaua maelfu na kuwalazimu mamia kuyakimbia makaazi yao.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share





