Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

M23 na serikali ya DRC kufanya mazungumzo ya ana kwa ana

M23 leader Corneille Nangaa and DRC President Felix Tshisekedi

Duru za pande hasimu nchini Kongo, zimesema serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na waasi wa M23 wanajiandaa kwa mazungumzo ya ana kwa ana 9 Aprili 2025.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Duru za pande hasimu nchini Kongo, zimesema serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na waasi wa M23 wanajiandaa kwa mazungumzo ya ana kwa ana 9 Aprili 2025.


Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Mkutano huo utakuwa wa kwanza kufanyika moja kwa moja tangu wapiganaji wa M23, kuiteka miji miwili mikubwa ya eneo la mashariki kwenye mashambulizi yaliyowaua maelfu na kuwalazimu mamia kuyakimbia makaazi yao.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now