M23 na serikali ya DRC kufanya mazungumzo ya ana kwa ana

M23 leader Corneille Nangaa and DRC President Felix Tshisekedi

Credit: Michele Tantussi/Cyrile Ndegeya/Anadolu via Getty Images

Duru za pande hasimu nchini Kongo, zimesema serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na waasi wa M23 wanajiandaa kwa mazungumzo ya ana kwa ana 9 Aprili 2025.


Mkutano huo utakuwa wa kwanza kufanyika moja kwa moja tangu wapiganaji wa M23, kuiteka miji miwili mikubwa ya eneo la mashariki kwenye mashambulizi yaliyowaua maelfu na kuwalazimu mamia kuyakimbia makaazi yao.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
M23 na serikali ya DRC kufanya mazungumzo ya ana kwa ana | SBS Swahili