Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mahamakama yakikatiba kuamua hatma ya mrithi wa Rais Nkurunziza

Warundi waomboleza kifo cha Rais Peter Nkurunziza

Muombolezaji atoa heshima zake mbele ya picha, ya Rais Peter Nkurunziza aliyefariki ghafla 8 Juni 2020 Source: Ntare Rushatsi House

Burundi imejipata katika sintofahamu yakikatiba baada ya Rais Peter Nkurunziza, kufariki ghafla tarehe 8 Juni 2020.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Burundi imejipata katika sintofahamu yakikatiba baada ya Rais Peter Nkurunziza, kufariki ghafla tarehe 8 Juni 2020.


Rais Nkurunziza alikuwa anatarajiwa kumkabidhi mamlaka Rais mteule Evariste Ndayishimiye tarehe 20 Agosti kabla yakustaafu rasmi.

Kifo chake cha ghafla kimewaacha wanasiasa na raia wa Burundi, ndani na nje ya nchi hiyo, wakiwa namaswali yasiyokuwa na majibu.

Mwandishi wa Idhaa ya Kiswahili ya SBS mjini Bujumbura Ramadhani Kibuga, alituarifu hatua ambazo zimechukuliwa na wanasheria kutatua kitendawili hicho.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now