Mahamakama yakikatiba kuamua hatma ya mrithi wa Rais Nkurunziza

Warundi waomboleza kifo cha Rais Peter Nkurunziza

Muombolezaji atoa heshima zake mbele ya picha, ya Rais Peter Nkurunziza aliyefariki ghafla 8 Juni 2020 Source: Ntare Rushatsi House

Burundi imejipata katika sintofahamu yakikatiba baada ya Rais Peter Nkurunziza, kufariki ghafla tarehe 8 Juni 2020.


Rais Nkurunziza alikuwa anatarajiwa kumkabidhi mamlaka Rais mteule Evariste Ndayishimiye tarehe 20 Agosti kabla yakustaafu rasmi.

Kifo chake cha ghafla kimewaacha wanasiasa na raia wa Burundi, ndani na nje ya nchi hiyo, wakiwa namaswali yasiyokuwa na majibu.

Mwandishi wa Idhaa ya Kiswahili ya SBS mjini Bujumbura Ramadhani Kibuga, alituarifu hatua ambazo zimechukuliwa na wanasheria kutatua kitendawili hicho.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service