Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Makena "Viongozi wetu wajifunze kwa yaliyo fanyika Sri Lanka"

Baadhi ya wanachama wa jumuiya yawa Kenya, katika maandamano yakupinga muswada wa fedha wa 2024 mjini Melbourne, Victoria, Australia.jpg

Maandamano dhidi ya muswada wa fedha wa 2024 nchini Kenya hatimae yamefika Australia.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Maandamano dhidi ya muswada wa fedha wa 2024 nchini Kenya hatimae yamefika Australia.


Baadhi ya wakenya wanao ishi mjini Melbourne wana jiandaa kuonesha mshikamano na wenzao walio nchini Kenya, wanao andamana kupinga muswada wa fedha wa 2024.

Bw Mwita ni mmoja wa wanadiaspora hao wanao elekea katika maandamano hayo, alipo zungumza na SBS Swahili alifunguka kuhusu sababu zaku jiunga na wenzake katika maandamano hayo.

Aliwaonya viongozi nchini Kenya, wajifunze kupitia mfano wa Sri Lanka ambako raia wali badilisha serikali kwa sababu yakuto shughulikia maslahi yao.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now