Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mazungumzo ya kumbukumbu ya hayati Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa

Waimbaji washiriki katika ibada yakumuaga rais mstaafu Benjami Mkapa

Waimbaji washiriki katika ibada yakumuaga rais mstaafu Benjami Mkapa Source: Tanzania Government

Usiku wa kuamkia tarehe 24 Julai 2020, Rais wa Jamahuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli kwa masikitiko makubwa, aliutangazia umma kutokea kwa kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Mheshimiwa Benjamin William Mkapa.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano, Frank Mtao

Source: SBS



Share this with family and friends


Usiku wa kuamkia tarehe 24 Julai 2020, Rais wa Jamahuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli kwa masikitiko makubwa, aliutangazia umma kutokea kwa kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Mheshimiwa Benjamin William Mkapa.


Kufuatia kifo hicho, Tanzania ilitangaza siku saba za maombolezo na kutumia Uwanja wa Mpira kwa siku tatu kuwapa wananchi wote, fursa ya kuaga mwili wa kiongozi huyo aliyezikwa siku ya Jumatano wiki hii Mkoani Mtwara.

Mtayarishaji wetu wa vipindi FRANK MTAO, aliungana na baadhi ya wafuatiliaji wa mambo ya siasa kuchambua kwa ufupi ungwe ya uongozi wa Marehemu Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now