Mazungumzo ya kumbukumbu ya hayati Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa

Waimbaji washiriki katika ibada yakumuaga rais mstaafu Benjami Mkapa

Waimbaji washiriki katika ibada yakumuaga rais mstaafu Benjami Mkapa Source: Tanzania Government

Usiku wa kuamkia tarehe 24 Julai 2020, Rais wa Jamahuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli kwa masikitiko makubwa, aliutangazia umma kutokea kwa kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Mheshimiwa Benjamin William Mkapa.


Kufuatia kifo hicho, Tanzania ilitangaza siku saba za maombolezo na kutumia Uwanja wa Mpira kwa siku tatu kuwapa wananchi wote, fursa ya kuaga mwili wa kiongozi huyo aliyezikwa siku ya Jumatano wiki hii Mkoani Mtwara.

Mtayarishaji wetu wa vipindi FRANK MTAO, aliungana na baadhi ya wafuatiliaji wa mambo ya siasa kuchambua kwa ufupi ungwe ya uongozi wa Marehemu Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service