Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mchungaji Joseph "Mungu ametutuma kuleta uamsho Australia"

Viongozi wamakanisa yawa Afrika katika kongamano mjini Sydney, Australia.jpg

Dini ni sehemu mhimu katika maisha ya watu wengi haswa watu wenye asili ya Afrika.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Dini ni sehemu mhimu katika maisha ya watu wengi haswa watu wenye asili ya Afrika.


Jamii mbali mbali zawa Afrika zinazo ishi Australia, zina makanisa yao ambako huwa wanajumuika kwa ibada, na isitoshe kuna vikundi vidogo vidogo vya waumini ambavyo huanza kanisa zao binafsi.

Hata kama lengo na shabaha ni moja ya wachungaji wanao ongoza makanisa hayo, ni nadra kwa wachungaji hao kuungana nakuandaa tukio linalo jumuisha makanisa mengine.

Ila, wikendi iliyopita baadhi ya wachungaji wenye asili ya ukanda wa Afrika ya Kati walijiunga nakuandaa kongamano maalum mjini Sydney. SBS Swahili ilizungumza na Mchungaji Joseph Mucunda, aliyezungumza kwa niaba ya wachungaji wenzake walio andaa kongamano hilo.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now