Mchungaji Joseph "Mungu ametutuma kuleta uamsho Australia"

Viongozi wamakanisa yawa Afrika katika kongamano mjini Sydney, Australia.jpg

Dini ni sehemu mhimu katika maisha ya watu wengi haswa watu wenye asili ya Afrika.


Jamii mbali mbali zawa Afrika zinazo ishi Australia, zina makanisa yao ambako huwa wanajumuika kwa ibada, na isitoshe kuna vikundi vidogo vidogo vya waumini ambavyo huanza kanisa zao binafsi.

Hata kama lengo na shabaha ni moja ya wachungaji wanao ongoza makanisa hayo, ni nadra kwa wachungaji hao kuungana nakuandaa tukio linalo jumuisha makanisa mengine.

Ila, wikendi iliyopita baadhi ya wachungaji wenye asili ya ukanda wa Afrika ya Kati walijiunga nakuandaa kongamano maalum mjini Sydney. SBS Swahili ilizungumza na Mchungaji Joseph Mucunda, aliyezungumza kwa niaba ya wachungaji wenzake walio andaa kongamano hilo.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service