Mejja awapa wagenge chanjo

Mejja akiwapa mashabiki dozi zao

Mejja akiwapa mashabiki dozi zao Source: Sam K

Ni takriban miaka mbili tangu tamasha zilipo pigwa marufuku, katika juhudi yakudhibiti usambaaji wa maambukizi ya UVIKO-19.


Ila baada ya vizuizi na marufuku ya watu wengi kukutana kuondolewa, ma promota kote nchini wamerejea sokoni kuandaa tamasha mbali mbali ambazo zime leta watu pamoja tena.

Mejja awapa mashabiki wake tiba
Mejja awapa mashabiki wake tiba Source: Sam K

Sam ni mkurugenzi wa kampuni ya Melbourne Party Rockers, kampuni hiyo kwa ushirikiano na Adelaide Reloaded wame mleta msanii maarufu na mashuhuri kutoka Kenya, Mejja "Okonkwo" kwa tamasha katika miji mitano mikubwa ya Australia. Bw Sam alieleza SBS Swahili jinsi wapenzi wa muziki walivyo mpokea kipenzi chao, pamoja na maandalizi ya tamasha zingine kuelekea mwisho wa mwaka huu.

Mejja atakiwasha mjini Adelaide Ijumaa 29 Julai, na tamasha yake ya mwisho itakuwa mjini Sydney Jumamosi 30 Julai. Bonyeza hapo chini kwa maelezo zaidi kuhusu kiingilio:

https://www.eventbrite.com.au/e/mejja-okonkwo-live-in-sydney-tickets-380349665087?aff=ebdssbdestsearch


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Mejja awapa wagenge chanjo | SBS Swahili