Tangazo la kifo cha aliyekuwa rais wa Burundi, Peter Nkurunziza lilizua hisia mseto ndani na nje ya taifa hilo la Afrika ya Kati.
Mjini Sydney, viongozi wa jamii yawarundi waliandaa mkutano wakutoa heshima zao za mwisho, kwa aliyekuwa rais wa nchi yao.
Bw Mohamed alikuwa miongoni mwa watu walio hudhuria mkutano huo, alichangia maoni yake kuhusu anavyo mkumbuka marehemu Nkurunziza katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS.
Share





