Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mohamed:"Rais Nkurunziza aliwafunza warundi kuwa wazalendo"

Maelfu wahudhuria ibada yamazishi ya Rais Peter Nkurunziza

Mwili wa aliyekuwa rais wa Burundi Peter Nkurunziza wawasili kwa ibada yamazishi mjini Gitega, Burundi Source: F24

Tangazo la kifo cha aliyekuwa rais wa Burundi, Peter Nkurunziza lilizua hisia mseto ndani na nje ya taifa hilo la Afrika ya Kati.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Tangazo la kifo cha aliyekuwa rais wa Burundi, Peter Nkurunziza lilizua hisia mseto ndani na nje ya taifa hilo la Afrika ya Kati.


Mjini Sydney, viongozi wa jamii yawarundi waliandaa mkutano wakutoa heshima zao za mwisho, kwa aliyekuwa rais wa nchi yao.

Bw Mohamed alikuwa miongoni mwa watu walio hudhuria mkutano huo, alichangia maoni yake kuhusu anavyo mkumbuka marehemu Nkurunziza katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now