Mohamed:"Rais Nkurunziza aliwafunza warundi kuwa wazalendo"

Maelfu wahudhuria ibada yamazishi ya Rais Peter Nkurunziza

Mwili wa aliyekuwa rais wa Burundi Peter Nkurunziza wawasili kwa ibada yamazishi mjini Gitega, Burundi Source: F24

Tangazo la kifo cha aliyekuwa rais wa Burundi, Peter Nkurunziza lilizua hisia mseto ndani na nje ya taifa hilo la Afrika ya Kati.


Mjini Sydney, viongozi wa jamii yawarundi waliandaa mkutano wakutoa heshima zao za mwisho, kwa aliyekuwa rais wa nchi yao.

Bw Mohamed alikuwa miongoni mwa watu walio hudhuria mkutano huo, alichangia maoni yake kuhusu anavyo mkumbuka marehemu Nkurunziza katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service