Labor yashinda uchaguzi wa NSW, nakusitisha miaka 12 katika upinzani

LABOR ELECTION FUNCTION

NSW Labor Leader Chris Minns and Prime Minister Anthony Albanese addresses party faithful at a reception after winning the 2023 NSW State Election, in Sydney, Saturday, March 25, 2023. Chris Minns is poised to lead a majority Labor government in NSW after strong swings to his party, ending a spell of coalition governments for twelve years. (AAP Image/Dean Lewins) NO ARCHIVING Source: AAP / DEAN LEWINS/AAPIMAGE

Labor imekamilisha kinacho julikana kama ushindi thabiti wakisiasa katika bara zima la Australia, baada ya matokeo ya uchaguzi wa New South Wales.


Matokeo hayo, yame iacha Tasmania kuwa mamlaka pekee nchini Australia, ambayo haiko chini ya uongozi wa serikali ya chama cha Labor.

Matokeo hayo pia yame maliza miaka 12 ya chama cha Labor, katika upinzani jimboni New South Wales.

Aliyekuwa kiongozi wa NSW Dominic Perrottet amethibitisha pia kuwa atajiuzulu kama kiongozi wa chama cha Liberal, hatua ambayo ime acha mlango wazi kwa mweka hazina wa zamani Matt Kean, ambaye ametarajiwa kwa muda mrefu kuwania uongozi wa chama cha mseto.

 Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Labor yashinda uchaguzi wa NSW, nakusitisha miaka 12 katika upinzani | SBS Swahili