NSW Labor Leader Chris Minns and Prime Minister Anthony Albanese addresses party faithful at a reception after winning the 2023 NSW State Election, in Sydney, Saturday, March 25, 2023. Chris Minns is poised to lead a majority Labor government in NSW after strong swings to his party, ending a spell of coalition governments for twelve years. (AAP Image/Dean Lewins) NO ARCHIVING Source: AAP / DEAN LEWINS/AAPIMAGE
Labor imekamilisha kinacho julikana kama ushindi thabiti wakisiasa katika bara zima la Australia, baada ya matokeo ya uchaguzi wa New South Wales.
Labor imekamilisha kinacho julikana kama ushindi thabiti wakisiasa katika bara zima la Australia, baada ya matokeo ya uchaguzi wa New South Wales.
Matokeo hayo, yame iacha Tasmania kuwa mamlaka pekee nchini Australia, ambayo haiko chini ya uongozi wa serikali ya chama cha Labor.
Matokeo hayo pia yame maliza miaka 12 ya chama cha Labor, katika upinzani jimboni New South Wales.
Aliyekuwa kiongozi wa NSW Dominic Perrottet amethibitisha pia kuwa atajiuzulu kama kiongozi wa chama cha Liberal, hatua ambayo ime acha mlango wazi kwa mweka hazina wa zamani Matt Kean, ambaye ametarajiwa kwa muda mrefu kuwania uongozi wa chama cha mseto.