Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Octopizzo: Ukosefu wa uwekezaji wa serikali, una athiri maendeleo ya sanaa Kenya

Msanii wa mziki wa hip hop Octopizzo

Msanii wa mziki wa hip hop Octopizzo Source: Octopizzo

Henry Ohanga aka 'Octopizzo' anajulikana kwa nyimbo zanazo ongoza kwa umaarufu nchini Kenya nakimataifa.


Tofauti na wasanii wenza ambao hutilia maanani kazi zao kimziki tu, msanii huyo wa hip hop kutoka Kenya ana shirika lamisaada (Octopizzo Foundation) linalo wasaidia vijana katika meaneo ya Kibera aliko kuia. Shirika hilo hutoa huduma pia katika sehemu zingine nchini Kenya.

SBS Swahili ilizungumza na Octopizzo, alipokuwa katika ziara kusini Australia, ambako alishiriki katika tamasha ya kila mwaka maarufu kwa jina la Sanaa Festival mjini Adelaide, pamoja nakushiriki katika jopo aliko zungumza kuhusu kazi ya shirika lake la misaada la Octopizzo Foundation.

Bofya hapo chini kwa taarifa ya ziada, kuhusu kazi ya shirika la Octopizzo Foundation.

octopizzofoundation.org

 


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now