Octopizzo: Ukosefu wa uwekezaji wa serikali, una athiri maendeleo ya sanaa Kenya

Msanii wa mziki wa hip hop Octopizzo

Msanii wa mziki wa hip hop Octopizzo Source: Octopizzo

Henry Ohanga aka 'Octopizzo' anajulikana kwa nyimbo zanazo ongoza kwa umaarufu nchini Kenya nakimataifa.


Tofauti na wasanii wenza ambao hutilia maanani kazi zao kimziki tu, msanii huyo wa hip hop kutoka Kenya ana shirika lamisaada (Octopizzo Foundation) linalo wasaidia vijana katika meaneo ya Kibera aliko kuia. Shirika hilo hutoa huduma pia katika sehemu zingine nchini Kenya.

SBS Swahili ilizungumza na Octopizzo, alipokuwa katika ziara kusini Australia, ambako alishiriki katika tamasha ya kila mwaka maarufu kwa jina la Sanaa Festival mjini Adelaide, pamoja nakushiriki katika jopo aliko zungumza kuhusu kazi ya shirika lake la misaada la Octopizzo Foundation.

Bofya hapo chini kwa taarifa ya ziada, kuhusu kazi ya shirika la Octopizzo Foundation.

octopizzofoundation.org

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service