Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Rahab"Serikali imesikia nakuchukulia hatua kilio chetu kuhusu utapeli"

Rahab Mwaniki Mwenyekiti wa kamati inayo andaa kongamano la uwekezaji, Melbourne, Victoria.jpg

Viongozi wa makampuni na biashara kutoka Kenya wame tua mjini Melbourne kushiriki katika kongamano la biashara.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Viongozi wa makampuni na biashara kutoka Kenya wame tua mjini Melbourne kushiriki katika kongamano la biashara.


Rahab Mwaniki ndiye Mwenyekiti wa kamati ya waandalizi wa kongamano hilo, katika mahojiano maalum na SBS Swahili alifunguka kuhusu kazi ambayo kamati yake imefanya kuandaa kongamano hilo.

Bi Rahab alizungumzia pia wasiwasi wa baadhi ya wana diaspora wanao taka wekeza nyumbani, ila wasiwasi unao sababishwa na hadithi za utapeli zime wazuia wengi kuwekeza nyumbani.

Kwa taarifa za ziada kuhusu kongamano hilo bonyeza hapa: www.kcv.org.au


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now