Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Sergent "Kiptum alikuwa mtu mpole na mcheshi sana"

Alfred Koech akiwa pamoja na rafiki yake Kelvin Kiptum.jpg

Habari za kifo cha mshindi wa rekodi ya dunia ya mbio za marathon za wanaume, Kelvin Kiptum katika ajali ya barabarani, zilitikisa dunia nzima siku chache zilizo pita.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Habari za kifo cha mshindi wa rekodi ya dunia ya mbio za marathon za wanaume, Kelvin Kiptum katika ajali ya barabarani, zilitikisa dunia nzima siku chache zilizo pita.


Alfred Koech anaye julikana mitandaoni pia kama "Sergent" ni Mkuregenzi Mtendaji wa shirika la Landson Foundation, ambayo huwasaidia vijana wenye vipaji vya riadha kupitia elimu nchini Kenya.

Bw Koech ambaye ni mkaaji wa Perth, Magharibi Australia, alirejea nchini takriban wiki tatu zilizo pita kutoka Kenya, na alikuwa amekutana na marehemu ambaye walikuwa wame weka mipango tayari yakutembelea shule na kambi ya wanariadha ambayo Sergent amejenga nyumbani kwao.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, Sergent aliweka wazi hisia zake kwa kifo cha Bw Kiptum na jinsi atakavyo mkumbuka.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now