Wakati kukiwa matukio yanayo zunguka mazishi ya malkia pamoja na siku ya taifa ya maombolezi, mjini Canberra kume kuwa shughuli za kimya kimya wiki hii katika tathmini ya Jenkins.
Serikali ya shirikisho ina onekana nikama, ina jiandaa kufanya makebisho kwa viwango vya tabia bungeni.
Kamati ya vigezo vya bunge inatarajiwa kutoa ripoti yake Disemba, wakati muswada wa uadilifu unatarajiwa kuwasilishwa bungeni wiki ijayo.
Share






