Shangwe na furaha ya shuhudiwa jijini Fairfield, NSW06:59Isaac Kisimba Credit: Bertrand TungandameSBS SwahiliView Podcast SeriesFollow and SubscribeApple PodcastsYouTubeSpotifyDownload (6.4MB)Download the SBS Audio appAvailable on iOS and Android Wanachama wa jumuiya ya DR Congo wanao ishi jimboni NSW, Australia walijumuika kwa sherehe maalum katika uwanja wa Fairfield Park, Fairfield, NSW.Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapaKatika mazungumzo maalum na mwenyekiti wa jumuiya hiyo Bw Isaac Kisimba, alifunguka kuhusu umuhimu wa maadhimisho hayo.Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.ShareLatest podcast episodesTaarifa ya Habari 23 Septemba 2025Serikali ya shirikisho yazungumza kwa ukali baada ya kupotea kwa huduma ya simu ya dharura ya OptusKamerhe chini ya shinikizo kuondolewa kama spika wa bunge la DRCTaarifa ya Habari 19 Septemba 2025