Shangwe na furaha ya shuhudiwa jijini Fairfield, NSW

Issac Kisimba

Isaac Kisimba Credit: Bertrand Tungandame

Wanachama wa jumuiya ya DR Congo wanao ishi jimboni NSW, Australia walijumuika kwa sherehe maalum katika uwanja wa Fairfield Park, Fairfield, NSW.


Katika mazungumzo maalum na mwenyekiti wa jumuiya hiyo Bw Isaac Kisimba, alifunguka kuhusu umuhimu wa maadhimisho hayo.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service