Shangwe na furaha ya shuhudiwa jijini Fairfield, NSW06:59Isaac Kisimba Credit: Bertrand TungandameSBS SwahiliView Podcast SeriesFollow and SubscribeApple PodcastsYouTubeSpotifyDownload (6.4MB)Download the SBS Audio appAvailable on iOS and Android Wanachama wa jumuiya ya DR Congo wanao ishi jimboni NSW, Australia walijumuika kwa sherehe maalum katika uwanja wa Fairfield Park, Fairfield, NSW.Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapaKatika mazungumzo maalum na mwenyekiti wa jumuiya hiyo Bw Isaac Kisimba, alifunguka kuhusu umuhimu wa maadhimisho hayo.Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.ShareLatest podcast episodesMakala leo:utafiti unaonyesha miti kote Australia inakufa kwa kasi zaidi,hali inayochangia kaboniMakala leo:Je,uangalizi wa ndege ni jambo maarufu miongoni mwa vijana sasa hivi?Taarifa ya habari:Tume ya kifalme yazinduliwa kuchunguza chuki dhidi ya wayahudiYaliyojiri Afrika:kapteni Ibrahim Traore anusurika jaribio jingine la mapinduzi