Shangwe na furaha ya shuhudiwa jijini Fairfield, NSW06:59Isaac Kisimba Credit: Bertrand TungandameSBS SwahiliView Podcast SeriesFollow and SubscribeApple PodcastsYouTubeSpotifyDownload (6.4MB)Download the SBS Audio appAvailable on iOS and Android Wanachama wa jumuiya ya DR Congo wanao ishi jimboni NSW, Australia walijumuika kwa sherehe maalum katika uwanja wa Fairfield Park, Fairfield, NSW.Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapaKatika mazungumzo maalum na mwenyekiti wa jumuiya hiyo Bw Isaac Kisimba, alifunguka kuhusu umuhimu wa maadhimisho hayo.Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.ShareLatest podcast episodesMaumivu ya wanawake kutiliwa maanani zaidiMaandamano ya kikundi cha NSN uliwezaje kuruhusiwa kufanyikaMazungumzo kuhusu African Youth Summit 2025Idadi ya watoto wa mataifa ya kwanza gerezani yazua tashwishi