Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Taarifa ya Habari 10 Aprili 2025

Bench - Swahili.jpg

Uamuzi wa Donald Trump kuregeza ushuru kwa nchi kadhaa, hauta athiri moja kwa moja Australia ila, uamuzi huo unaweza fungua mlango kwa mazungumzo ya ziada na marekani.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Uamuzi wa Donald Trump kuregeza ushuru kwa nchi kadhaa, hauta athiri moja kwa moja Australia ila, uamuzi huo unaweza fungua mlango kwa mazungumzo ya ziada na marekani.


Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Sudan na Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE leo zitapambana katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki, ICJ, huku Sudan ikiishtumu UAE kwa kuvunja Mkataba wa UN wa Mauaji ya Kimbari kwa madai ya kuwaunga mkono wapiganaji waasi.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now