Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Taarifa ya Habari 16 Juni 2025

Bench - Swahili.jpg

Waziri Mkuu Anthony Albanese, amesema mazungumzo kati yake na mshiriki wake kutoka Canada katika mkutano wa G7, ilikuwa fursa yaku imarisha tena uhusiano kati ya nchi hizo mbili.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Waziri Mkuu Anthony Albanese, amesema mazungumzo kati yake na mshiriki wake kutoka Canada katika mkutano wa G7, ilikuwa fursa yaku imarisha tena uhusiano kati ya nchi hizo mbili.


Rais wa Marekani Donald Trump amesema serikali yake haija husika katika mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran siku ya Ijumaa 13 Juni. Mwana diplomasia mkuu wa Iran Abbas Araghchi, amesema Iran ina ushahidi thabiti kuwa vikosi vya Marekani vili isaidia Israel katika mashambulizi yake.

Udhibiti wa sekta ya malezi ya watoto uta imarishwa, na hatua za lazima zita anza kutekelezwa kuanzia Septemba mosi. Mageuzi hayo yame afikiwa na mawaziri wa elimu kutoka majimbo na wilaya zote za Australia.

Walimu katika Kaunti ya Kisumu wameapa kugoma kuanzia Jumatatu wakitaka Naibu Mkuu wa Polisi, Eliud Lagat, ajiuzulu kufuatia kifo cha mwalimu na mwanablogu Albert Ojwang’.

Ulinzi ume endelea kuimarishwa katika kanisa la Askofu Gwajima, hatua ambayo ime walazimishwa waumini kufanyia ibada barabarani.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now