Taarifa ya Habari 24 Juni 2025

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS / SBS Swahili

Waziri wa Mambo ya Nje Penny Wong amesema Australia imesimamisha uhamishaji kwa mabasi kutoka Israel, kufuatia shambulizi la Marekani katika vifaa vya nyuklia vya Iran ila, inajiandaa kwa uwezekano wakufanya uhamisho kama anga ya Israel itafunguliwa tena.


Idadi yawa Australia ambao wamejisajili kupokea msaada kuondoka katika ukanda wa Mashariki ya Kati ni takriban 2,900 nchini Iran na 1,300 nchini Israel.

Serikali ya Queensland imepanga kuondoa hatua za kutoa afueni kwa gharama ya maisha, itakapo toa bajeti yake hii leo, na inaelnga ukarabati wa muda mrefu wa bajeti kabla yakuwa mwenyeji wa michezo ya Olimpiki ya 2032.

Nchini Rwanda, mpinzani mkuu wa Paul Kagame yuko mikononi mwa idara za usalama tangu siku ya Alhamisi, Juni 19. Victoire Ingabire anatuhumiwa kushiriki katika kesi ya uvunjifu wa amani iliyoanzishwa mwaka wa 2021. Mpinzani huyo alizungumza mahakamani kabla tu ya kukamatwa kwake, akikana kabisa kuhusika na njama hiyo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service