Taarifa ya Habari 30 Juni 2025

Bench - Swahili.jpg

Anthony Albanese amesema Australia haita ongeza matumizi yake ya ulinzi mwezi wa Aprili ijayo kama sehemu ya mkakati wa ulinzi wa taifa, baada ya wito kutoka Marekani kupiga jeki bajeti ya Ulinzi.


Kuanzia Julai 1 wa Australia wata weza pata ufikiaji mkubwa zaidi kwa likizo ya wazazi, kima cha chini cha malipo kita ongezeka na mamilioni wata ongezewa malipo yao ya Centrelink.

Wauguzi jimboni Queensland wanatihsia kufanya mgomo baada ya chama cha wauguzi jimboni humo, kutoa hati ya mwisho ya mpango wa malipo kwa serikali ya jimbo hilo.

Nchini Tanzania, kiongozi wa upinzani Tundu Lissu alifikishwa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam siku ya Ijumaa, Juni 27, 2025, kupinga kifungu cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai. Sheria hii, iliyoanzishwa mwaka wa 2018 kutokana na sheria za kupambana na ugaidi, sasa inaruhusu upande wa mashtaka kuomba kutotajwa kabisa kwa mashahidi-pamoja na maelezo yao-bila kuwafahamisha upande wa utetezi au hata jaji.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service