Taarifa ya Habari 4 Aprili 2025

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS / SBS Swahili

Kiongozi wa chama cha Greens Adam Bandt amerudia sera yake muhimu ya uchaguzi yaku wasilisha matibabu ya meno bure kwa mfumo wa Medicare, akisema wa Australia wanalipa hela nyingi sana kwa huduma muhimu ya afya.


Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Thisekedi, ameondoa adhabu ya kifo kwa raia watatu wa Marekani, waliokuwa wamehukumiwa kifo na sasa watafungwa maisha, kwa kuhusika kwa kile serikali ya Kinshasa ilieleza jaribio la mapinduzi mwaka uliopita.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Taarifa ya Habari 4 Aprili 2025 | SBS Swahili