Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Tafakari, na wito wakuchukua hatua, katika siku ya Kitaifa yakusema Pole

Stolen Generations survivor Rita Wright depicts her journey at a commemorative event in Sydney

Stolen generations survivor Aunty Rita Wright performs a dance depicting her journey during the Sorry Day Stolen Generations Community Gathering 2025 at the Royal Botanic Gardens Sydney, Sydney, Sunday, May 25, 2025. (AAP Image/Sitthixay Ditthavong) NO ARCHIVING Source: AAP / Sitthixay Ditthavong/AAPIMAGE

Matukio yame fanyika kote nchini Kuadhimisha Siku ya Kitaifa yakuomba msamaha 26 Mei, hatua ambayo ni kukiri kuondolewa kwa lazima kwa watoto wa Mataifa ya Kwanza kutoka kwa familia na tamaduni zao.


Published

Updated

By Karla Grant, Angelica Waite, Rayane Tamer

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Matukio yame fanyika kote nchini Kuadhimisha Siku ya Kitaifa yakuomba msamaha 26 Mei, hatua ambayo ni kukiri kuondolewa kwa lazima kwa watoto wa Mataifa ya Kwanza kutoka kwa familia na tamaduni zao.


Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Theluthi tatu yawa Aboriginal na wana visiwa wa Torres Strait ni wajukuu wa wahanga wa vizazi vilivyo ibiwa, na wengi wao wamechangia hadithi za familia zao pamoja na kumbukumbu zao zaku ondolewa wakiwa watoto.

Wiki ya upatanisho inapo anza, viongozi wa mataifa ya kwanza wanaomba kuwepo kwa mchakato wakusema ukweli, pamoja na hatua thabiti kutoka kwa wanasiasa kushughulikia hasara inayo endelea.

Katika ardhi ya kitamaduni ya watu wa Dharug wa Parramatta, magharibi Sydney... moja ya sherehe nyingi zilizo fanywa kote nchini, kuadhimisha hafla ya 28 ya siku ya Kitaifa yaku omba radhi, na kukumbuka historia ya vizazi vilivyo ibiwa.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now