SBS Swahili iliposikia kuwa Mfalme wa Soukous: Kanda Bongo Man ata fanya ziara nchini Australia, tuliwasiliana na mmoja wa waandalizi wa ziara hiyo ambaye alitupa maelezo kamili kuhusu maandalizi ya tamasha za Bw Kanda Bongo Man
Mfalme wa Soukous: Kanda Bongo Man aanza ziara Australia
Kanda Bongo Man akiwa jukwaani Source: Salt Magazine
Ni mara haba kwa wasanii maarufu wa nyimbo zaki Afrika kufanya ziara nchini Australia.
Share




