Hatua hiyo imezungumziwa na baa dhi ya watu kuwa ni “shambulizi kwa demokrasia”, ambalo linawaacha wabunge huru na vyama vidogo bila uwezo wakuchunguza vizuri miswada.
Uamuzi wa serikali kupunguza idadi yawafanyakazi wakasirisha wabunge huru

Waziri Mkuu Anthony Albanese, akizungumza na waandishi wa habari. Source: AAP
Wabunge wame zua ukosoaji mkali dhidiya waziri mkuu, kwa uamuzi wake wakukata idadi yawafanyakazi wao wa ushauri kwa theluthi tatu.
Share