Wabunge wame zua ukosoaji mkali dhidiya waziri mkuu, kwa uamuzi wake wakukata idadi yawafanyakazi wao wa ushauri kwa theluthi tatu.
Hatua hiyo imezungumziwa na baa dhi ya watu kuwa ni “shambulizi kwa demokrasia”, ambalo linawaacha wabunge huru na vyama vidogo bila uwezo wakuchunguza vizuri miswada.
Chama cha Greens nacho kili kasirishwa na idadi yawafanyakazi, ambao kilipewa. Wanachama wa chama hicho wameongezeka kutoka wabunge 10, hadi wabunge 16 kupitia uchaguzi mkuu uliopita.
Share






