Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Uamuzi wa serikali kupunguza idadi yawafanyakazi wakasirisha wabunge huru

Waziri Mkuu Anthony Albanese, akizungumza na waandishi wa habari.

Waziri Mkuu Anthony Albanese, akizungumza na waandishi wa habari. Source: AAP

Wabunge wame zua ukosoaji mkali dhidiya waziri mkuu, kwa uamuzi wake wakukata idadi yawafanyakazi wao wa ushauri kwa theluthi tatu.


Published

Updated

By Gareth Boreham, Kath Landers

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Wabunge wame zua ukosoaji mkali dhidiya waziri mkuu, kwa uamuzi wake wakukata idadi yawafanyakazi wao wa ushauri kwa theluthi tatu.


Hatua hiyo imezungumziwa na baa dhi ya watu kuwa ni “shambulizi kwa demokrasia”, ambalo linawaacha wabunge huru na vyama vidogo bila uwezo wakuchunguza vizuri miswada.

Chama cha Greens nacho kili kasirishwa na idadi yawafanyakazi, ambao kilipewa. Wanachama wa chama hicho wameongezeka kutoka wabunge 10, hadi wabunge 16 kupitia uchaguzi mkuu uliopita.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now