Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Uchaguzi Mkuu 2025: Dutton afuta sera yakumaliza mpangilio wakufanyia kazi nyumbani

News

Kiongozi wa upinzani wa shirikisho Peter Dutton, ame tupa nje mpango wake waku walazimisha wafanyakazi wa umma kurejea ofisini aki kiri sera hiyo ilikuwa kosa.


Published

Updated

By Rania Yallop

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Kiongozi wa upinzani wa shirikisho Peter Dutton, ame tupa nje mpango wake waku walazimisha wafanyakazi wa umma kurejea ofisini aki kiri sera hiyo ilikuwa kosa.


Mageuzi ya upinzani wa mseto kwa huduma ya umma yalikuwa sehemu kuu ya jukwaa lake la uchaguzi... kukata ajira elfu 41,000, na kuacha kufanyia kazi nyumbani.

Mpango wa awali ulikuwa kulazimisha wafanyakazi wa umma warejee ofisini siku tano kwa wiki, kama watashinda uchaguzi mkuu ujao.

Ila katika wikendi iliyo pita, Peter Dutton alisema alikuwa ana maanisha tu wafanyakazi wa umma mjini Canberra.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now