Ukosefu wa vyakula na bidhaa zingine muhimu, umelazimisha UNHCR kuomba msaada wa dharura kwa wakimbizi wenye asili ya Sudan Kusini, walio kimbilia DRC.
Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Jamii zinazo ishi katika vijiji vya mpaka wa Sudan Kusini na DRC, ndizo zilizo kuwa ziki wasaidia wakimbizi hao takriban elfu kumi na tano.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi kutoka kwa mwandishi wetu Jason Nyakundi.
Share





