UNHCR yaomba msaada kwa wakimbizi wa Sudan Kusini walio DRC06:53 Source: AAPSBS SwahiliView Podcast SeriesFollow and SubscribeApple PodcastsYouTubeSpotifyDownload (6.3MB)Download the SBS Audio appAvailable on iOS and Android Ukosefu wa vyakula na bidhaa zingine muhimu, umelazimisha UNHCR kuomba msaada wa dharura kwa wakimbizi wenye asili ya Sudan Kusini, walio kimbilia DRC.Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapaJamii zinazo ishi katika vijiji vya mpaka wa Sudan Kusini na DRC, ndizo zilizo kuwa ziki wasaidia wakimbizi hao takriban elfu kumi na tano.Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi kutoka kwa mwandishi wetu Jason Nyakundi.ShareLatest podcast episodesTaarifa ya Habari 23 Septemba 2025Serikali ya shirikisho yazungumza kwa ukali baada ya kupotea kwa huduma ya simu ya dharura ya OptusKamerhe chini ya shinikizo kuondolewa kama spika wa bunge la DRCTaarifa ya Habari 19 Septemba 2025