UNHCR yaomba msaada kwa wakimbizi wa Sudan Kusini walio DRC

Protest in South Sudan

Source: AAP

Ukosefu wa vyakula na bidhaa zingine muhimu, umelazimisha UNHCR kuomba msaada wa dharura kwa wakimbizi wenye asili ya Sudan Kusini, walio kimbilia DRC.


Jamii zinazo ishi katika vijiji vya mpaka wa Sudan Kusini na DRC, ndizo zilizo kuwa ziki wasaidia wakimbizi hao takriban elfu kumi na tano.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi kutoka kwa mwandishi wetu Jason Nyakundi.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service