UNHCR yaomba msaada kwa wakimbizi wa Sudan Kusini walio DRC06:53 Source: AAPSBS SwahiliView Podcast SeriesFollow and SubscribeApple PodcastsYouTubeSpotifyDownload (6.3MB)Download the SBS Audio appAvailable on iOS and Android Ukosefu wa vyakula na bidhaa zingine muhimu, umelazimisha UNHCR kuomba msaada wa dharura kwa wakimbizi wenye asili ya Sudan Kusini, walio kimbilia DRC.Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapaJamii zinazo ishi katika vijiji vya mpaka wa Sudan Kusini na DRC, ndizo zilizo kuwa ziki wasaidia wakimbizi hao takriban elfu kumi na tano.Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi kutoka kwa mwandishi wetu Jason Nyakundi.ShareLatest podcast episodesMakala leo:utafiti unaonyesha miti kote Australia inakufa kwa kasi zaidi,hali inayochangia kaboniMakala leo:Je,uangalizi wa ndege ni jambo maarufu miongoni mwa vijana sasa hivi?Taarifa ya habari:Tume ya kifalme yazinduliwa kuchunguza chuki dhidi ya wayahudiYaliyojiri Afrika:kapteni Ibrahim Traore anusurika jaribio jingine la mapinduzi