Wapiga kura na wagombea wa uchaguzi wa urais wa DR Congo, wame anza kuelezea wasi wasi wao kuhusu usalama wa kura katika uchaguzi wa urais utakao fanywa tarehe 30 Disemba 2018.
Wanachama wa jamii ya DR Congo wanao ishi NSW, wame changia maoni yao na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, kuhusu uchaguzi mkuu ujao, pamoja na matarajio yao kwa wagombea wanao taka washinde katika uchaguzi huo wa urais.
Share






