Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Madai ya wizi wa kura yasambaa katika kampeni za uchaguzi wa urais ujao wa DR Congo

Bw Isaac Kisimba akizungumza na idhaa ya Kiswahili ya SBS

Bw Isaac Kisimba akizungumza na idhaa ya Kiswahili ya SBS Source: SBS Swahili

Wapiga kura na wagombea wa uchaguzi wa urais wa DR Congo, wame anza kuelezea wasi wasi wao kuhusu usalama wa kura katika uchaguzi wa urais utakao fanywa tarehe 30 Disemba 2018.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Wapiga kura na wagombea wa uchaguzi wa urais wa DR Congo, wame anza kuelezea wasi wasi wao kuhusu usalama wa kura katika uchaguzi wa urais utakao fanywa tarehe 30 Disemba 2018.


Wanachama wa jamii ya DR Congo wanao ishi NSW, wame changia maoni yao na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, kuhusu uchaguzi mkuu ujao, pamoja na matarajio yao kwa wagombea wanao taka washinde katika uchaguzi huo wa urais.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now