Wanafunzi wakimataifa nchini kukabiliwa kwa mageuzi ya haki za kazi

students

Multi-ethnic group of students attend class and are listening to their university lecturer. Desks are separated due to social distancing. All students seated at desks. Modern classroom setting. New normal concept. Credit: Fly View Productions/Getty Images

Idadi ya masaa ambayo wanafunzi wakimataifa nchini Australia wanaweza fanya kazi chini ya masharti ya viza zao itabadilika kuanzia Julai.


Wanafunzi wakimataifa wenye aina ya shahada zinazo ungwa na uhaba wa ujuzi, pia wata stahiki kupewa nyongeza ya haki yamasaa yakazi baada yakuhitimu.

Mageuzi hayo yata anza kutumika kuanzia Julai mosi na, yataongeza haki zakufanya kazi kutoka miaka mbili hadi minne kwa baadhi ya shahada zitakazo teuliwa, na miaka minne hadi miaka sita kwa shahada za uzamivu ambayo hujulikana pia kama daktari wa falsafa ama PHD kwa ufupi.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service