Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Waziri Mkuu asema lazima pawe garama kwa matendo ya Urusi

Scott Morrison Ukraine

Прем'єр-міністр Австралії в укранському храмі, Лідкомб, НПВ, 27-02-2022. Source: SBS

Waziri Mkuu Scott Morrison amekiri kuwa vikwazo ambavyo vime wekwa dhidi ya Urusi, huenda havita kuwa na madhara yoyote ila, Australia inasimama bega kwa bega na Ukraine.


Published

By Arianna Lucente

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Waziri Mkuu Scott Morrison amekiri kuwa vikwazo ambavyo vime wekwa dhidi ya Urusi, huenda havita kuwa na madhara yoyote ila, Australia inasimama bega kwa bega na Ukraine.


Ameongezea kuwa lazima pawe gharama kwa matendo ya Moscow, akidokeza kuwa huenda vikwazo vya ziada vita tangazwa.

Australia imeweka vikwazo vya marufuku ya safari pamoja na adhabu yakifedha, kwa wanachama wanane wa baraza la kitaifa la ulinzi ya Urusi na, kulenga sekta maalum zinazo taka kujitenga katika kanda ya Ukraine kama Donetsk na Luhansk, pamoja na benki sita za Urusi.

Hata hivyo Ubalozi wa Urusi mjini Canberra umeishtumu serikali ya Australia kwa "kuunga mkono nakuhimiza wachocheaji wa chuki dhidi ya wageni ambao wako Kyiv" na kuwa "uamuzi wakutambua miji ya Donetsk na Luhansk ulifanywa kwa misingi yakibinadam, nakuwalinda raia." Naye Bw Morrison alijibu shtuma hizo kwa kusema kuwa, kuwatambua wanajeshi wa urusi kama walinda amani ni matusi kwa sababu:


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now