Waziri Mkuu asema lazima pawe garama kwa matendo ya Urusi

Scott Morrison Ukraine

Прем'єр-міністр Австралії в укранському храмі, Лідкомб, НПВ, 27-02-2022. Source: SBS

Waziri Mkuu Scott Morrison amekiri kuwa vikwazo ambavyo vime wekwa dhidi ya Urusi, huenda havita kuwa na madhara yoyote ila, Australia inasimama bega kwa bega na Ukraine.


Ameongezea kuwa lazima pawe gharama kwa matendo ya Moscow, akidokeza kuwa huenda vikwazo vya ziada vita tangazwa.

Australia imeweka vikwazo vya marufuku ya safari pamoja na adhabu yakifedha, kwa wanachama wanane wa baraza la kitaifa la ulinzi ya Urusi na, kulenga sekta maalum zinazo taka kujitenga katika kanda ya Ukraine kama Donetsk na Luhansk, pamoja na benki sita za Urusi.

Hata hivyo Ubalozi wa Urusi mjini Canberra umeishtumu serikali ya Australia kwa "kuunga mkono nakuhimiza wachocheaji wa chuki dhidi ya wageni ambao wako Kyiv" na kuwa "uamuzi wakutambua miji ya Donetsk na Luhansk ulifanywa kwa misingi yakibinadam, nakuwalinda raia." Naye Bw Morrison alijibu shtuma hizo kwa kusema kuwa, kuwatambua wanajeshi wa urusi kama walinda amani ni matusi kwa sababu:


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service