Dawa iliyo tumiwa katika vita vya pili vya dunia, yaweza zuia vifo vya mafua

Mwanaume apewa chanjo ya mafua

Mwanaume apewa chanjo ya mafua Source: AAP

Watafiti wamegundua dawa iliyotumika enzi za Vita Kuu ya pili ya Dunia inaweza kusaidia kuzuia vifo vya magonjwa ya mafua.


Uvumbuzi uliofanywa na wanasayansi hao, umekuja muda muafaka wakati ni takribani vifo mia tatu kutokana na virusi hivyo vimetangazwa kutokea mwaka huu ikiwa vimeanza mapema isivyotarajiwa katika msimu wa mafua.

Jimbo la Kusini Australia lime pata pigo kubwa zaidi. Idadi ya watu 82 wengi wao wakiwa wazee, wame fariki katika jimbo hilo mwaka huu, na idadi kamili ya visa vya mafua inakaribia elfu 20. Kulinganisha na wakati kama huo mwaka jana, kulikuwa na visa elfu 1500 ambavyo vilikuwa vimethibitishwa.

Hali hiyo imesababisha upinzani kutoa wito wa tathmini, ya jinsi serikali inashughulikia msimu wa mafua, pamoja na uwepo wa vifaa vyakutosha vya chanjo.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Dawa iliyo tumiwa katika vita vya pili vya dunia, yaweza zuia vifo vya mafua | SBS Swahili