Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Dawa iliyo tumiwa katika vita vya pili vya dunia, yaweza zuia vifo vya mafua

Mwanaume apewa chanjo ya mafua

Mwanaume apewa chanjo ya mafua Source: AAP

Watafiti wamegundua dawa iliyotumika enzi za Vita Kuu ya pili ya Dunia inaweza kusaidia kuzuia vifo vya magonjwa ya mafua.


Published

Updated

By Gareth Boreham

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Watafiti wamegundua dawa iliyotumika enzi za Vita Kuu ya pili ya Dunia inaweza kusaidia kuzuia vifo vya magonjwa ya mafua.


Uvumbuzi uliofanywa na wanasayansi hao, umekuja muda muafaka wakati ni takribani vifo mia tatu kutokana na virusi hivyo vimetangazwa kutokea mwaka huu ikiwa vimeanza mapema isivyotarajiwa katika msimu wa mafua.

Jimbo la Kusini Australia lime pata pigo kubwa zaidi. Idadi ya watu 82 wengi wao wakiwa wazee, wame fariki katika jimbo hilo mwaka huu, na idadi kamili ya visa vya mafua inakaribia elfu 20. Kulinganisha na wakati kama huo mwaka jana, kulikuwa na visa elfu 1500 ambavyo vilikuwa vimethibitishwa.

Hali hiyo imesababisha upinzani kutoa wito wa tathmini, ya jinsi serikali inashughulikia msimu wa mafua, pamoja na uwepo wa vifaa vyakutosha vya chanjo.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now