Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Zaidi ya vitabu: Jinsi maktaba hujenga jumuiya

State Library Victoria

Maktba za umma za Australia ni mahali maalum. Ndio, huwa zina kuruhusu ukope vitabu bure ila pia, zina toa utajiri wa miradi na huduma, bure pia na hukaribisha kila mtu, kutoka watoto wachanga hadi wazee.


Published

Updated

By Audrey Bourget

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Maktba za umma za Australia ni mahali maalum. Ndio, huwa zina kuruhusu ukope vitabu bure ila pia, zina toa utajiri wa miradi na huduma, bure pia na hukaribisha kila mtu, kutoka watoto wachanga hadi wazee.


Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Leo tuta tazama huduma pana ambazo, maktaba za umma hutoa nchini Australia.

Kote nchini Australia, maktaba za umma ni mwenyeji wa zaidi ya vitabu milioni 40 ambavyo vime andikwa katika Kiingereza na lugha zingine ila, jukumu lao ni zaidi yaku kopa.

Katika msingi wake, maktaba zina husu mahusiano.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now