Zaidi ya vitabu: Jinsi maktaba hujenga jumuiya

State Library Victoria

Credit: State Library of Victoria

Maktba za umma za Australia ni mahali maalum. Ndio, huwa zina kuruhusu ukope vitabu bure ila pia, zina toa utajiri wa miradi na huduma, bure pia na hukaribisha kila mtu, kutoka watoto wachanga hadi wazee.


Leo tuta tazama huduma pana ambazo, maktaba za umma hutoa nchini Australia.

Kote nchini Australia, maktaba za umma ni mwenyeji wa zaidi ya vitabu milioni 40 ambavyo vime andikwa katika Kiingereza na lugha zingine ila, jukumu lao ni zaidi yaku kopa.

Katika msingi wake, maktaba zina husu mahusiano.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service