Zambia ya mpoteza Rais mstaafu Edgar Lungu

Rais mstaafu wa Zambia Edgar Chagwa Lungu.jpg

Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu amefariki akiwa na umri wa miaka 68.


Hayo ni kwa mujibu wa chama chake cha Patrotic Front. Lungu alikuwa kiongozi wa taifa hilo la Kusini mwa Afrika kati ya mwaka wa 2015 na 2021.

Lungu alikuwa kiongozi wa taifa hilo la Kusini mwa Afrika kati ya mwaka wa 2015 na 2021, wakati aliposhindwa kwa kishindo katika uchaguzina Rais wa sasa Hakainde Hichilema.

Chama chake kimesema kwenye ujumbe kilichoandika kwenye ukurasa wake wa Facebook kuwa rais huyo wa zamani, ambaye amekuwa akipokea matibabu maalumu nchini Afrika Kusini, alifariki dunia leo Alhamisi.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service