Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Zambia ya mpoteza Rais mstaafu Edgar Lungu

Rais mstaafu wa Zambia Edgar Chagwa Lungu.jpg

Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu amefariki akiwa na umri wa miaka 68.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu amefariki akiwa na umri wa miaka 68.


Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Hayo ni kwa mujibu wa chama chake cha Patrotic Front. Lungu alikuwa kiongozi wa taifa hilo la Kusini mwa Afrika kati ya mwaka wa 2015 na 2021.

Lungu alikuwa kiongozi wa taifa hilo la Kusini mwa Afrika kati ya mwaka wa 2015 na 2021, wakati aliposhindwa kwa kishindo katika uchaguzina Rais wa sasa Hakainde Hichilema.

Chama chake kimesema kwenye ujumbe kilichoandika kwenye ukurasa wake wa Facebook kuwa rais huyo wa zamani, ambaye amekuwa akipokea matibabu maalumu nchini Afrika Kusini, alifariki dunia leo Alhamisi.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now