Angus Taylor amechukua uongozi wa chama cha Liberal katika kura ya maamuzi ya chama chake kwa ushindi thabiti wa kura 34 dhidi ya 17 zilizotolewa kwa aliyekuwa kiongozi wake.
Nakumaliza muda wa uongozi wa miezi tisa wa Sussan Ley kama kiongozi wa kwanza mwanamke wa chama hicho.
Akiungwa mkono na Naibu mpya Jane Hume, msomi huyo wa Rhodes na Mweka Hazina wa zamani Kivuli sasa anakabiliwa na changamoto ya kujenga upya msingi uliovunjika huku akipitia historia ya kisiasa iliyojaa utata mkubwa wa zamani.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





