Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Anne "karibuni tusherehekee utu wa mwanamke, uvumilivu na neema"

Anne Macharia mwandalizi wa hafla ya siku ya kina mama

Wanawake wanao ishi katika maeneo ya jiji la Melbourne wame andaliwa tukio maalum Jumapili 10 May, ambayo huadhimishwa kama siku ya kina mama.


Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, Mratibu wa tukio hilo Bi Anne Macharia alifunguka kuhusu lengo la kuandaa tukio hilo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now