Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Australia kutambua utaifa wa Palestina

Prime Minister Anthony Albanese and Foreign Minister Penny Wong make the announcement at Parliament House, Canberra (AAP)

Minister for Foreign Affairs Penny Wong and Prime Minister Anthony Albanese at a press conference at Parliament House in Canberra, Monday, August 11, 2025. Prime MinisterAlbanese says Australia will recognise a Palestinian state at UN general assembly. (AAP Image/Mick Tsikas) NO ARCHIVING Source: AAP / MICK TSIKAS/AAPIMAGE

Australia ita tambua Palestina kama taifa katika mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wa Septemba.


Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Hatua hiyo ina fuata matangazo kama hayo kutoka Ufaransa, Canada na Uingereza katika wiki za hivi karibuni.

Kwa wiki kadhaa, serikali ya shirikisho imekuwa ikisema ni swala la muda, kwa Australia kutambua Palestina kama taifa.

Na sasa tuna jua muda huo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now