Socceroos wamefanikiwa kufika hatua ya mchujo baada ya kupata sare yakutofungana katika Kundi D, wakati Ecuador ikiwaacha wajerumani vinywa wazi katika Kundi E na kufuzu kushiriki katika hatua ya timu bora 32.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Australia sasa itakabiliana na mshindi wa pili wa Kundi G, ambalo lina Ubelgiji, Misri, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na New Zealand.
Katika Kundi E, Ecuador walitoka nyuma na kuwashinda mabingwa mara nne wa dunia Ujerumani 2-1, na kujihakikishia nafasi yao katika Raundi ya 32.
Côte d'Ivoire ilimaliza ya pili katika kundi hilo baada ya kuishinda Curaçao 2-0.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.





