Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Baranga"nakaribisha wanaume wote katika kongamano maalum, tujadili maswala muhimu kwetu"

Hezron Baranga, Mwenyekiti wa Jamii yawa Kalenjin wa NSW akitoa hotuba.jpg

Wanaume kutoka jumuiya za Afrika Mashariki wanao ishi jimboni New South Wales, wana jiandaa kwa kongamano maalum Jumamosi 27 Juni 2026.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Wanaume kutoka jumuiya za Afrika Mashariki wanao ishi jimboni New South Wales, wana jiandaa kwa kongamano maalum Jumamosi 27 Juni 2026.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Hezron Baranga ni Mwenyekiti wa Jumuiya yawa Kalenjin wa NSW. Alipo zungumza na SBS Swahili, alifunguka kuhusu maandalizi na lengo la kuandaa kongamano hilo.

Bofya hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now