Wanachama wa jumuiya ya Wanyamulenge wanao ishi Australia, walijumuika mbele ya bunge la taifa mjini Canberra kuelezea kero zao.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Bw Birori, ali fafanulia SBS Swahili kwa nini wali fanya tukio hilo.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






