Baadhi ya wanawake wenye miaka 40 na zaidi, hujipata wana koma kupata hedhi. Hali hii huja na changamoto mbali mbali kwa wahusika.
Christine Mumbua ni muuguzi nchini Uingereza, lakini kwa sasa yuko nchini Australia ambako anafanya utafiti wa Uzamivu katika chuo cha Deakin kwa ushirikiano na chuo cha Coventry cha Uingereza.
Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, Bi Christine alifunguka kuhusu hatua hiyo ya maisha ambapo wanawake hukoma kupata hedhi, dalili zake, changamoto zinazo ibuka na baadhi ya hatua ambazo mhusika anaweza chukua kupata afueni au msaada.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.






