Félicien Kabuga apambana kupata nchi itakayo mpokea badala ya Rwanda

Felicien Kabuga

Rwandan suspected genocide financier Felicien Kabuga is seen as International Residual Mechanism for Criminal Tribunals (IRMCT) announced him as he is âunfitâ to stand trial due to his severe dementia, in Lahey, Netherlands on August 08, 2023. Source: Anadolu / International Criminal Court / Handout/Anadolu Agency via Getty Images

Mshukiwa wa mauaji ya kimbari ya Rwanda, Félicien Kabuga anakabiliana na wakati mgumu kupata nchi itakayo mpokea kwa muda kutoka gereza la The Hague, Uholanzi.



Kesi dhidi ya Kabuga imesitishwa kwa muda usio julikana kwa misingi ya afya ya mshukiwa huyo mwenye umri wa miaka 90. Kufikia sasa hakuna nchi ambayo imekubali kumpokea isipokuwa Rwanda, ambako anashtakiwa kwa mauaji ya kimbari.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Félicien Kabuga apambana kupata nchi itakayo mpokea badala ya Rwanda | SBS Swahili