Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Félicien Kabuga apambana kupata nchi itakayo mpokea badala ya Rwanda

Felicien Kabuga

Rwandan suspected genocide financier Felicien Kabuga is seen as International Residual Mechanism for Criminal Tribunals (IRMCT) announced him as he is âunfitâ to stand trial due to his severe dementia, in Lahey, Netherlands on August 08, 2023. Source: Anadolu / International Criminal Court / Handout/Anadolu Agency via Getty Images

Mshukiwa wa mauaji ya kimbari ya Rwanda, Félicien Kabuga anakabiliana na wakati mgumu kupata nchi itakayo mpokea kwa muda kutoka gereza la The Hague, Uholanzi.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Kesi dhidi ya Kabuga imesitishwa kwa muda usio julikana kwa misingi ya afya ya mshukiwa huyo mwenye umri wa miaka 90. Kufikia sasa hakuna nchi ambayo imekubali kumpokea isipokuwa Rwanda, ambako anashtakiwa kwa mauaji ya kimbari.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now