Kesi dhidi ya Kabuga imesitishwa kwa muda usio julikana kwa misingi ya afya ya mshukiwa huyo mwenye umri wa miaka 90. Kufikia sasa hakuna nchi ambayo imekubali kumpokea isipokuwa Rwanda, ambako anashtakiwa kwa mauaji ya kimbari.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.