Siku kadhaa baada ya Israel na Marekani kuanza mashambulizi yao dhidi ya Iran, wachambuzi wame anza kuelezea madhara ya vita hivyo katika kanda hiyo na duniani kote kwa ujumla.
Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, mchambuzi wa maswala ya siasa Bw Jay alifunguka kuhusu mzozo huo pamoja na changamoto baadhi ya nchi zime pata ziki shiriki katika mazungumzo na Marekani.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





