Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Jay "Marekani iki kuambia wanataka mfanye mazungumzo jua nyuma ya pazia wanapanga kitu fulani"

Israel Launches Strikes Against Iran

TEHRAN, IRAN - JUNE 16: Smoke rises after a reported Israeli strike on a building used by Islamic Republic of Iran News Network, part of Iran's state TV broadcaster, on June 16, 2025 in Tehran, Iran. Credit: Stringer/Getty Images

Siku kadhaa baada ya Israel na Marekani kuanza mashambulizi yao dhidi ya Iran, wachambuzi wame anza kuelezea madhara ya vita hivyo katika kanda hiyo na duniani kote kwa ujumla.


Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, mchambuzi wa maswala ya siasa Bw Jay alifunguka kuhusu mzozo huo pamoja na changamoto baadhi ya nchi zime pata ziki shiriki katika mazungumzo na Marekani.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now