Muthoni Gitau ni muuguzi ambaye pia hu elimisha jamii kuhusu magonjwa ya akili, haswa ugonjwa wa akili unao pelekea mtu kusahau. Kwa Kiingereza ugonjwa huo unajulikana kama Dementia.
Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, alizungumza kwa upana kuhusu mbinu ambazo unaweza tumia kuukabili.
Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.