Kamerhe chini ya shinikizo kuondolewa kama spika wa bunge la DRC

Vital Kamerhe azungumza na waandishi wa habari

Vital Kamerhe azungumza na waandishi wa habari Credit: Junior D. Kannah

Taratibu zinazolenga kumfuta kazi Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Vital Kamerhe zinaendelea huku kukishuhudiwa hali ya mfarakano kati ya rais Félix Tshisekedi na mshirika wake huyo wa zamani.


Kamerhe anakabiliwa na uwezekano huo wa kuondolewa katika wadhifa huo akituhumiwa kwa usimamizi usio na uwazi wa fedha za umma, uongozi mbaya na kupuuza hoja za wabunge wa kitaifa.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service