Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Kamerhe chini ya shinikizo kuondolewa kama spika wa bunge la DRC

Vital Kamerhe azungumza na waandishi wa habari

Vital Kamerhe azungumza na waandishi wa habari Credit: Junior D. Kannah

Taratibu zinazolenga kumfuta kazi Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Vital Kamerhe zinaendelea huku kukishuhudiwa hali ya mfarakano kati ya rais Félix Tshisekedi na mshirika wake huyo wa zamani.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Kamerhe anakabiliwa na uwezekano huo wa kuondolewa katika wadhifa huo akituhumiwa kwa usimamizi usio na uwazi wa fedha za umma, uongozi mbaya na kupuuza hoja za wabunge wa kitaifa.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now