Kamerhe anakabiliwa na uwezekano huo wa kuondolewa katika wadhifa huo akituhumiwa kwa usimamizi usio na uwazi wa fedha za umma, uongozi mbaya na kupuuza hoja za wabunge wa kitaifa.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Vital Kamerhe azungumza na waandishi wa habari Credit: Junior D. Kannah
SBS World News