Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Kamerhe anakabiliwa na uwezekano huo wa kuondolewa katika wadhifa huo akituhumiwa kwa usimamizi usio na uwazi wa fedha za umma, uongozi mbaya na kupuuza hoja za wabunge wa kitaifa.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





