Kenya, Uganda na Tanzania tayari kwa sherehe ya soka05:39 Credit: CAF Media ChannelSBS SwahiliView Podcast SeriesFollow and SubscribeApple PodcastsYouTubeSpotifyDownload (5.18MB)Download the SBS Audio appAvailable on iOS and Android Wapenzi wa soka barani Afrika wana elekea Kenya, Uganda na Tanzania kuhudhuria michuano ya Afrika iliyo ahirishwa mwaka jana.Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapaMichuano hiyo itatumiwa na wenyeji hao watatu kama maandalizi ya kombe la Afrika la 2027, litakalo andaliwa na Kenya, Uganda na Tanzania.Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.ShareLatest podcast episodesMaumivu ya wanawake kutiliwa maanani zaidiMaandamano ya kikundi cha NSN uliwezaje kuruhusiwa kufanyikaMazungumzo kuhusu African Youth Summit 2025Idadi ya watoto wa mataifa ya kwanza gerezani yazua tashwishi