Kenya, Uganda na Tanzania tayari kwa sherehe ya soka05:39 Credit: CAF Media ChannelSBS SwahiliView Podcast SeriesFollow and SubscribeApple PodcastsYouTubeSpotifyDownload (5.18MB)Download the SBS Audio appAvailable on iOS and Android Wapenzi wa soka barani Afrika wana elekea Kenya, Uganda na Tanzania kuhudhuria michuano ya Afrika iliyo ahirishwa mwaka jana.Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapaMichuano hiyo itatumiwa na wenyeji hao watatu kama maandalizi ya kombe la Afrika la 2027, litakalo andaliwa na Kenya, Uganda na Tanzania.Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.ShareLatest podcast episodesWaaustralia wakabiliwa na wastani wa kusubiri miaka mitano kwa teknolojia za matibabu zinazookoa maishaMatokeo ya Cronulla 2005 yakumbukwa kwa hisia mchanganyikoWataalamu waonya kuwa msimu wa moto umeanza tunapotarajia joto kuongezekaBaraza la usalama wa chakula latoa vidokezo jinsi ya kuandaa vyakula kwa usalama ili kuepukana na magonjwa