Kenya, Uganda na Tanzania tayari kwa sherehe ya soka05:39 Credit: CAF Media ChannelSBS SwahiliView Podcast SeriesFollow and SubscribeApple PodcastsYouTubeSpotifyDownload (5.18MB)Download the SBS Audio appAvailable on iOS and Android Wapenzi wa soka barani Afrika wana elekea Kenya, Uganda na Tanzania kuhudhuria michuano ya Afrika iliyo ahirishwa mwaka jana.Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapaMichuano hiyo itatumiwa na wenyeji hao watatu kama maandalizi ya kombe la Afrika la 2027, litakalo andaliwa na Kenya, Uganda na Tanzania.Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.ShareLatest podcast episodesTaarifa ya habari:Tume ya kifalme yazinduliwa kuchunguza chuki dhidi ya wayahudiYaliyojiri Afrika:kapteni Ibrahim Traore anusurika jaribio jingine la mapinduziAfya:wataalamu waonya dhidi ya madhara ya kuchanganya mipango mbalimbali ya lisheMakala leo:wazazi wapata afueni baada ya serikali kupunguza gharama za vituo vya malezi ya watoto