Bei ya mafuta ime ongezeka tayari, hatua ambayo ime ilazimisha Serikali ya Shirikisho kuchukua hatua kwa ajili yakushughulikia athari za mgogoro wa usambazaji wa mafuta nchini Australia.
Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, mchambuzi wa maswala ya kisiasa Bw Jay alifunguka kuhusu mgogoro huo pamoja na changamoto baadhi ya nchi zita pata.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





