Bw Gilbert na Bi Linda walijumuika na wakristo wenzao mjini Sydney katika ibada na matukio mengine ya Pasaka.
Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, wawili hao walifunguka kuhusu uzoefu wao wa maadhimisho ya Pasaka pamoja nakuchangia maoni yao kuhusu hatua ambazo viongozi wakidini wanastahili chukua, dhidi ya viongozi wa dunia ambao ni waumini na wanasababisha maafa na uharibifu duniani.
Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.








