Wanawake kwa wasichana pamoja na rafiki zao, wata jumuika katika ukumbi wa Smithmithfield RSL Jumamosi 14 Machi 2026 kuanzia saa kumi na moja unusu hadi saa tano na nusu usiku.
Katika mahojiano maalum na Bi Micheline ambaye ni rais wa wanawake wa jumuiya hiyo, alifunguka kuhusu lengo na umuhimu wa sherehe hiyo.
Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.





