Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Makala leo: 'Acha kutumia miili ya wanawake' kundi la misaada laonya, unyanyasaji wa kingono ukienea Sudan

Women and their children walk near a truck carrying government troops

No clashes were reported between the two feuding South Sudan sides as they strive for a ceasefire. Source: AAP

Wanawake na wasichana wanaokimbia vita vya Sudan wanaelezea ubakaji, mateso na unyanyasaji, huku wafanyakazi wa misaada wakionya kwamba mateso yanazidi kuwa makubwa kuliko visa vinavyofikia huduma ya matibabu.


Ripoti mpya kutoka Medecins Sans Frontieres inasema, ukatili wa kijinsia huko Darfur umeenea, na manusura wengi bado hawapatikani.

Onyo, makala yafuatayo yana mambo ambayo yanaweza wakera baadhi ya wasikilizaji.

Kama wewe au mtu unayemjua ameathiriwa na unyanyasaji wa kijinsia, unaweza pata msaada kwa kupiga simu kwa namba hii 1800RESPECT kwa 1800 737 732, tuma ujumbe mfupi kwa 0458 737 732, au tembelea 1800RESPECT.org.au. Katika dharura, piga simu kwa namba hii 000.

Bonyeza hapo juu kwa makala kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now