Baada ya wiki kadhaa za shinikizo kuhusu kupanda kwa bei ya petroli, serikali ya shirikisho imepunguza kodi ya mafuta kwa nusu.
Ni hatua ya miezi mitatu inayogharimu bajeti mabilioni ya dola, Waziri Mkuu akitoa mpango wa sehemu nne wa kukabiliana na mzozo huo.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





