Australian Prime Minister Anthony Albanese, Australian Treasurer Jim Chalmers and Australian Energy Minister Chris Bowen speak to the media during a press conference at Parliament House in Canberra, Monday, 30 March, 2026. (AAP Image/Lukas Coch) NO ARCHIVING Source: AAP / LUKAS COCH/AAPIMAGE
Baada ya wiki kadhaa za shinikizo kuhusu kupanda kwa bei ya petroli, serikali ya shirikisho imepunguza kodi ya mafuta kwa nusu.