Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Makala leo: Afueni kwa madereva wanaokabiliwa na matatizo baada ya serikali kupunguza ushuru wa mafuta

ANTHONY ALBANESE NATIONAL CABINET PRESSER

Australian Prime Minister Anthony Albanese, Australian Treasurer Jim Chalmers and Australian Energy Minister Chris Bowen speak to the media during a press conference at Parliament House in Canberra, Monday, 30 March, 2026. (AAP Image/Lukas Coch) NO ARCHIVING Source: AAP / LUKAS COCH/AAPIMAGE

Baada ya wiki kadhaa za shinikizo kuhusu kupanda kwa bei ya petroli, serikali ya shirikisho imepunguza kodi ya mafuta kwa nusu.


Ni hatua ya miezi mitatu inayogharimu bajeti mabilioni ya dola, Waziri Mkuu akitoa mpango wa sehemu nne wa kukabiliana na mzozo huo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now