Hotuba ya kitaifa ya Waziri Mkuu Anthony Albanese kuhusu uchumi unaokabiliwa na matatizo nchini humu, inayosababishwa na mgogoro wa nishati duniani, imepokewa kwa hisia mseto.
Taifa linapo kabiliana na kile ambacho Waziri Mkuu anakiita ongezeko kubwa zaidi la bei ya petroli na dizeli katika historia, Australia itajiunga na viongozi wengine wa dunia kwa mazungumzo kuhusu kufungua tena Mlango-Bahari wa Hormuz.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






