Taifa linapo kabiliana na kile ambacho Waziri Mkuu anakiita ongezeko kubwa zaidi la bei ya petroli na dizeli katika historia, Australia itajiunga na viongozi wengine wa dunia kwa mazungumzo kuhusu kufungua tena Mlango-Bahari wa Hormuz.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.





