Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Makala leo: Hotuba ya Waziri Mkuu yapokewa kwa hisia mseto

ANTHONY ALBANESE FUEL PRESSER

Prime Minister Anthony Albanese at a press conference at Parliament House in Canberra, Friday, March 27, 2026 Source: AAP / MICK TSIKAS/AAPIMAGE

Hotuba ya kitaifa ya Waziri Mkuu Anthony Albanese kuhusu uchumi unaokabiliwa na matatizo nchini humu, inayosababishwa na mgogoro wa nishati duniani, imepokewa kwa hisia mseto.


Taifa linapo kabiliana na kile ambacho Waziri Mkuu anakiita ongezeko kubwa zaidi la bei ya petroli na dizeli katika historia, Australia itajiunga na viongozi wengine wa dunia kwa mazungumzo kuhusu kufungua tena Mlango-Bahari wa Hormuz.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now