Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Makala leo: Jinsi uchaguzi mdogo wa vijijini unavyoweza ashiria matatizo kwa upinzani wa Australia

 Campaign posters of One Nation candidate David Farley and independent Michelle Milthorpe ahead of Farrer by-election in NSW

Corflutes are seen at a pre-polling centre in the seat of Farrer ahead of a by-election, Albury, Thursday, April 30, 2026. Candidates are set for a hotly contested race to replace Sussan Ley in parliament after she was deposed as opposition leader. (AAP Image/Mick Tsikas) NO ARCHIVING Source: AAP / MICK TSIKAS/AAPIMAGE

Uchaguzi mdogo ujao wa Mei 9 katika eneo bunge la Farrer jimboni New South Wales, unaweza kuwa na athari kubwa kwa siasa za kitaifa.


Mgombea wa chama cha One Nation pamoja na mgombea huru wana ongoza katika kinyang'anyiro hicho, wapiga kura katika eneo bunge hilo salama la zamani la chama cha mseto, hali hiyo inawakilisha mwelekeo unaoongezeka wa kutoridhika na vyama vikuu.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now