Upunguzaji wa fedha katika Mpango wa Kitaifa wa Bima ya Ulemavu ndio chanzo kikubwa zaidi cha uokoaji wa fedha katika bajeti ya serikali shirikisho, jambo linalowaacha watu wengi katika jamii ya wenye ulemavu wakiwa na hasira na wasiwasi juu ya kile kinachokuja.
Maelezo kuhusu ni washiriki gani watapoteza misaada yao, na ikiwa serikali za majimbo zitaziba mapengo hayo, bado yanafanyiwa kazi.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.






